SIZE 8 – AFADHALI YESU

Nimepanda nimeshuka,
Milima mabonde na mito nimevuka,
Nimeosa! Nimesota!

Nimekosa mpaka mpaka nimekopa,
Nimeamini binadamu ole wangu roho wakanivunja
Niliambiwa nikakana,

Mimi mwenyewe nimekuja ona,
Tunachothamini hakitufanyi tufurahi
Ohh!
Najiuliza furaha yangu ni nani….
Afadhali Yesu
Afadhali yeh! Aliyena Yesu,

Nimesaka saka saka mbali sana
Nikipata pata bado nataka more
Nimesaka saka saka pes asana
Nikipata pata bado nataka more
Makossa yangu na dhambi zangu
Matendo yangu yale nina juta

Umechukuwa umeondoa
Ulisema huta yakumbuka
Tunachothamini hakitufanyi tufurahi
Ohh!

Najiuliza furaha yangu ni nani….
Afadhali Yesu
Afadhali yeh! Aliyena Yesu,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *