SITASAHAU – DAN KAHIA & ALICE KAMANDE
![](https://www.djomslyrics.iko.co.ke/wp-content/uploads/2019/05/alice-kamande-1-e1498387443423-1024x691.jpg)
Ayee Ayee Ayee
Wewe ni wimbo
wangu
Wewe ni ngome yangu
Umenitoa mbali sana
Singeweza kujitoa Aaaa
Ukanipenda mimi
Kwenye mwamba
imara
Usiotingizika
Naami Sitasahau
Chorus
Sitasahau wema ulionitendea
Mabonde na milima ulionipandisha
Mito na bahari ulizonivukisha
Sitasahau mimi *2
Kama sio wewe
yesu
Ningekua wapi mimi
Kama si mkono wako
Adui angenimaliza
Ukaniona mimi
Kwa macho yako ya
rehema
Ukanikomboa
Kwa mkono wako wenye nguvu
Na mimi nisije nikasahau
Si kwa uwezo wangu
Kwani ni mkono wako
Nami sitasahau
chorus
Sitasahau wema ulionitendea
Mabonde na milima ulionipandisha
Mito na bahari ulizonivukisha
Sitasahau mimi
Ayee Ayee Ayee
Ayeeya
1,2,3 Kamata….Guitar
Umenitoa mbali
sana
Wanipeleka mbali sana *3
Chorus
Sitasahau wema ulionitendea
Mabonde na milima ulionipandisha
Mito na bahari ulizonivukisha
Sitasahau mimi