MR.SEED – SIMAMA

Eeeeeee !
Mmmmmmm !
Mr seed again
Seed again

Nimekua chini sitabishana
Sitabishana lakini kwa jina la yesu simama
Oooooooo!
Na pesa ipotee
Na watu wanitokee
Kwa jina la yesu nasimama
Ooooooo ! Oooooo!

Nimengangana kwa bidii
Maneno ya wenzangu sisikii
Kwa maisha yangu Mungu unanitoosha
Mmmmmm!

Nimengangana kwa bidii
Maneno ya wenzangu sisikii
Kwa maisha yangu Mungu unanitoosha
Mmmmmm!

Ninasimama ninasimama
Ninasimama ninasimama
Kwa jina la yesu nasimama

Ninasimama ninasimama
Ninasimama ninasimama
Kwa jina la yesu nasimama

Nilipata tabu dunia iliponsukuma kwa kona
Nilipata tabu nikaona kujitoa uhai ndio bora
Mungu wa Abrahamu alijitokeza mwenyewe tu
Akaniambia mwanangu usijali niko na wewe
Ata wanadamu wakiniangusha nibebe tu
Sitajali niko salama nikiwa na wewe

Nimengangana kwa bidii
Maneno ya wenzangu sisikii
Kwa maisha yangu Mungu unanitoosha
Mmmmm!

Nimengangana kwa bidii
Maneno ya wenzangu sisikii
Kwa maisha wangu Mungu unanitoosha

Ninasimama ninasimama
Ninasimama ninasimama
Kwa jina la yesu nasimama

Ninasimama ninasimama
Ninasimama ninasimama
Kwa jina la yesu nasimama

Mi nasimama! nasimama!
Nasimama!
Mmmmm ! Mi Nasimama
Ukiwa na mimi nasimama

Mi nasimama! nasimama!
Nasimama!
Mmmmm ! Mi Nasimama
Ukiwa na mimi nasimama

Ninasimama ninasimama
Ninasimama ninasimama
Kwa jina la yesu nasimama * 4

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *