EUNICE NJERI – AMENI

Usifiwe Mungu muumba mbingu na nchi yote
Ameni Ameni
Jehova Adonai
Jehova Elshadai
Ameni Ameni
Ooh

Uko kila mahali Baba
Dunia yakutambua
Ameni Ameni
Eeh
Ukisema Yahweh nani apingane nawe
Ameni Ameni
Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu Mfalme, Bwana wa mabwana ooh
Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu, Mfalme, Bwana wangu
Tuko salama chini ya mbawa zake

Ameni Ameni
Kanisa zote tu imara tumesimama palipo sawa
Ameni Ameni
Tumepewa nguvu, mamlaka na uwezo
Ameni Ameni
Ooh, Usifiwe Wewe Uliye juu Sana
Ameni Ameni

Ooh Hallelujah
Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu, Mfalme, Bwana wa mabwana ooh
Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu, Mfalme, Bwana wangu
Hakuna silaha kinyume itakayo faulu

Ameni Ameni
Aliye ndani yetu ni mkuu zaidi ya tunayemuona
Ameni Ameni
Tumepewa nguvu mamlaka na uwezo
Ameni Ameni
Usifiwe Wewe Uliye shinda yote

Ameni Ameni
Tunakuinua
Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu Mfalme, Bwana wa mabwana ooh
Sema wewe
Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu Mfalme, Bwana wangu

Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu Mfalme, Bwana wa mabwana ooh
Hallelujah (Hallelujah) Hallelujah (Hallelujah)
Wewe ni Mungu Mfalme, Bwana wangu
Hallelujah
Yesu eeh
Wewe ni Mungu, Mfalme, Bwana wangu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *