Eric Smith – Wewe Ni Zaidi

Verse#1

Ninashangaa nikielewa
Wewe ni zaidi ya vile nilivyoambiwa juu yako
Tena sauti yako baba yanizidia
sauti zote ninazosikia

Chorus

Yale umetenda Baba Yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upenda
Yale unasema Babayote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo

Verse#2

Nimejipata ndani ya upendo wako
umekuwa kwangu mapumziko
neema yako yanitosha
Nikiwa nawe,mimi niko huru

Wewe ni Mungu Mkuu
Mfalme wa wafalme
Muumba mbingu na nchi
Heshima zote ni zako bwana
Hakuna kama wewe

Chorus

Yale umetenda Baba Yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upenda
Yale unasema Babayote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *