ANDY MBURU ANANIJALI

Nimeomba 
Tena sio mara moja,
Kwa roho na kwa kweli,
Bali sijapata,
Majibu yangu kuyaona,

Adui,shetani mwongo,
Asema ya kwamba mwenyezi mungu yeye hanijali,
Bali, siwezi sitomkubali,
Niyayo hakikisho, ya kweli ninajua,

Ananijali 
Sitokubali 
kuzama kwenye maji,
Ananipenda 
Yeye ni mwema

Ni za dunia, 
zangu hizi shida, 
Hanitanizuia kukutumikia
Nitafuata mimi hiyo njia,ya kweli na uzima,
Kwani,ulisema yote yamekwisha,

Sitababaishwa, 
Ninajua yatapita
Kwani,baada ya usiku giza, 
Ninayo hakikisho,asubuhi itafika

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *