ALICE KAMANDE – WEWE PEKEE
![](https://www.djomslyrics.iko.co.ke/wp-content/uploads/2019/04/maxresdefault-1-1024x576.jpg)
Nafungua kinywa changu, nikusifu Baba
Umenitendea nimefika sasa hapa
Wewe kweli ni rafiki, Unaniongoza ninapopotea
Upendo wako niufananishe na nani baba
Taabu nyingi kweli nilipitia
Hadi nikajipata nikikushuku
Sikujua mpango wako kwangu Baba
Ulijua yote nikiyapitia
Mkono wako ulikuwa umenishikilia nisianguke
Wewe kimbilio langu
Hakuna mwingine, ni wewe pekee yako
Mbele hata nyuma, ni wewe pekee
Hakuna mwingine, ni wewe pekee yako
Mbele hata nyuma, ni wewe pekee
Tafuta tafuta hutampata kama yeye
Alinitoa toka tope la dhambi
Kama sitaona haya ya kumsifu mungu wangu
Siku zote nitamuimbia Baba
Taabu nyingi kweli nilipitia
Hadi nikajipata nikikushuku
Sikujua mpango wako kwangu Baba
Ulijua yote nikiyapitia
Mkono wako ulikuwa umenishikilia nisianguke
Wewe kimbilio langu
Hakuna mwingine, ni wewe pekee yako
Mbele hata nyuma, ni wewe pekee
Hakuna mwingine, ni wewe pekee yako
Mbele hata nyuma, ni wewe pekee